Friday, September 16, 2011

Naibu Waziri wa Uchukuzi aweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa eneo la kutunzia Makasha katika Bandari ya Dar es Salaam


Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Athumani R. Mfutakamba,akiweka jiwe la msingi la eneo la kutunzia makontena Katika Bandari ya Dar es Salaam. Tukio hilo lilifanyika ikiwa ni sehemu maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Sekta ya Uchukuzi.Kushoto kwa Naibu Waziri ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mhandisi Omar A. Chambo na wa pili kulia kwa Naibu Waziri ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Ndg. Ephraim Mgawe na viongozi wengine wa Wizara na Taasisi zilizochini ya Wizara ambao walikuwepo kushuhudia tukio hili muhimu.

No comments:

Post a Comment