Friday, September 16, 2011

Naibu Waziri wa Uchukuzi afungua kongamano la Usafirishaji


Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Athumani R. Mfutakamba akifungua Kongamano la Usafirishaji lilloandaliwa na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)  katika hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Plaza. Lengo la Kongamano hili lilikuwa kujadili maendeleo, changamoto na matarajio ya Sekta ya Usafirishaji  ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

1 comment: