Saturday, December 3, 2011

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi atembelea Banda la Sekta ya Uchukuzi katika Viwanja vya JK Nyerere


Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar A. Chambo (wa kwanza kulia), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhandisi Mussa Iyombe (wa kwanza kushoto) na viongozi wengine wa Serikali wakitoka katika Ukumbi wa Rashid Kawawa baada ya uzinduzi rasmi wa maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar A. Chambo  akikaribishwa na "Air Hostess" wa Kampuni ya Ndege ya Tanzania katika Banda la Wizara ya Uchukuzi na Taasisi zilizo chini yake ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar A. Chambo akisaini kitabu cha Wageni katika Banda la Wizara ya Uchukuzi huku watumishi wa Wizara Ndg. Lwiza na Bi. Sanda wakishuhudia.



Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar A. Chambo akipata maelezo ya nini kinafanyika katika Wizara yake toka kwa Bi. Sanda ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar A. Chambo akisaini kitabu cha wageni katika banda la Kampuni Miliki ya Rasilimali za Reli (RAHCO) huku watumishi wake Bi. Amina Good, Bw. Michael Semaya na Bw. Bryson Munuo wakishuhudia.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar A. Chambo akidadisi jambo toka kwa watumishi wa kampuni ya RAHCO.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar A. Chambo akisaini kitabu cha wageni katika banda la Shirika la Reli la Tanzania (TRL) huku watumishi wake.

2 comments:

  1. Kijana kazi nzuri sana lakini uwe unamalizia Sentensi zako...alafu picha ziwe kubwa kiasi ili watu waonekane vizuri

    ReplyDelete
  2. Introducing the Global Ocean Commission

    By Hannah Mahony -
    Feb 12, 2013

    Global Ocean Commission

    Today sees the launch The Global Ocean Commission, an independent body of international leaders aiming to reverse degradation of the ocean, restoring it to full health and productivity.

    The group chaired by former Costa Rican President (and Carbon War Room President) José María Figueres, South African cabinet minister Trevor Manuel and former UK Foreign Secretary David Miliband, will bring together senior political figures including former Heads of State, Foreign Ministers and Finance Ministers from around the world, alongside business leaders and development specialists.

    This year the Commission will analyse key threats to the ‘high seas’ – a large area of the ocean not owned by any one country but under severe and increasing pressure from overfishing, damage to important habitat, climate change and ocean acidification.

    “The global ocean is essential to the health and well-being of each and every one of us. It provides about half of the oxygen we breathe and absorbs about a quarter of our carbon dioxide emissions"

    Ahead of a UN General Assembly in 2014 to discuss on protection of high seas biodiversity, the Commission will then publish their recommendations.

    "The world urgently needs to find better ways of managing the oceans"

    Commenting on the need for a reform of the high seas José María Figueres said: “The world urgently needs to find better ways of managing the oceans, to stop abuse of its precious resources and ensure its protection for present and future generations.

    “The global ocean is essential to the health and well-being of each and every one of us. It provides about half of the oxygen we breathe and absorbs about a quarter of our carbon dioxide emissions; but we are failing to manage it in ways that reflect its true value. The Global Ocean Commission will help highlight its worth in our lives and indicate ways in which we can ensure its resources are used sustainably.”

    When discussing the importance of sea protection for the worldwide economy, David Miliband commented: “The UN Law of the Sea was a great achievement, but we urgently need a governance framework that delivers its aims and objectives for today’s global ocean.

    “The ocean provides food for billions of people, as well as generating substantial economic wealth, employment and trade; getting the governance right will lead to both economic and ecological gains.”

    According to the Global Ocean Commission, recent findings that indicate the need for reform include:

    About half of the world’s fish stocks are fished to their maximum sustainable level, while a further third are fished beyond that level, some to commercial extinction
    Overfishing costs the global economy an estimated $50bn per year
    Climate change is forcing the migration of some marine life away from its natural grounds, and appears to be reducing the amount of living space for some important fish species
    The United Nations has concluded that illegal, unreported and unregulated (IUU) fishing fleets are implicated in acts of terrorism and trafficking of people (including children), drugs and weapons, with working conditions that can amount to forced labour.

    Discussions are in progress regarding additional Commissioners to be in place by the time of the first Commission meeting in Cape Town in March 2013.

    For a full list of current confirmed commissioners and for more information, visit www.globaloceancommission.org

    By Hannah Mahony. Social engagement executive, Virgin Group Digital. Tweets @hannahmahony

    ReplyDelete