Friday, December 2, 2011

Wizara ya Uchukuzi na Taasisi zake waanza wiki ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru katika Viwanja vya SabaSaba Kilwa Road kuanzia 1-9 Desemba 2011




Karibu sana katika Banda la Sekta ya Uchukuzi ambalo lipo katika Jengo la VETA ambapo utakaribishwa na wadada watanashati, warembo, wenye bashasha na wakarimu.


Watumishi wa Wizara Bw. Mkiaru na Bi. Sanda wakipeana mawazo ya  maandalizi ya mwisho ya banda lao.


Baada ya maandalizi, watumishi wa Wizara Bw. Biseko na Bw. Mashaka wakitafakari mpangilio mzima.

No comments:

Post a Comment