Karibu sana katika Banda la Sekta ya Uchukuzi ambalo lipo katika Jengo la VETA ambapo utakaribishwa na wadada watanashati, warembo, wenye bashasha na wakarimu.
Watumishi wa Wizara Bw. Mkiaru na Bi. Sanda wakipeana mawazo ya maandalizi ya mwisho ya banda lao.
Baada ya maandalizi, watumishi wa Wizara Bw. Biseko na Bw. Mashaka wakitafakari mpangilio mzima.
No comments:
Post a Comment